Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, 17 May 2014

LAANA! REHEMA FABIAN ATUPIA TENA PICHA ZA NUSU UTUPU INSTAGRAM

MAJANGA! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian ameonekana hamnazo baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii wa Instagram kisha kuambulia mvua ya matusi.
Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian
Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian
Picha hiyo ilimuonesha akiwa amejiziba usoni na kuacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake ambapo baadhi ya wafuasi wa mtandao huo walimkalisha kwa kumpa za chembe.
Picha ya nusu uchi aliyotupia miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian katiaka mtandao wa Instagram.
Picha ya nusu uchi aliyotupia miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian katiaka mtandao wa Instagram.
“Huwezi kuwa mtu unayejiheshimu katika jamii halafu ukatupia picha

0 comments:

Post a Comment