Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, 18 April 2014


Kulwa Kikumba ‘Dude’ Mtayarishaji na muongozaji wa filamu Bongo amewashukia wasanii wa filamu maarufu kama Bongo Movie kuwa hawana upendo wala utu zaidi ya kuangalia maslahi yao au njia ya kutengeneza fedha tu lakini siyo kutoa misaada ya kweli kwa jamii na wazazi wa wasanii waliofariki.
Kulwa Kikumba ‘Dude’.
Kulwa Kikumba ‘Dude’.
“Bongo Movie kumetoa taswira mbaya katika tasnia ya filamu, Visasi, chuki, ubinafsi, ugomvi, ndivyo vilivyotawala huku ubora wa filamu ukiwa umeporomoka kama si kushuka kupita kiasi hakuna ubunifu,”
“Sharo, Kanumba na Sajuki tumewasahau hakuna anayewakumbuka, kama leo mama Kanumba kaamua kuigiza usishangae mama Sharo naye akiingia kuigiza ili maisha yaende,”anasema Dude.
Dude anasema kuwa ipo haja ya kuangalia na kuiokoa tasnia ya filamu inayoekea kuzama kama

0 comments:

Post a Comment