
Jamani
hivi Tanga Kunani? Toka Nimekua na Kubalaa nasikia tu kuwa ukipata
Mwanamke wa Kitanga Unasuki na wengine wanasema eti Mwanaume Ukienda
Tanga Hauwezi rudi Siku hiyo hiyo lazima ulale ...Najiuliza Hivi Mabinti
wa Kitanga wana nini ? Huku Mtaani kwetu wanagombaniwa kama
Njungu.....Tufahamisheni jamani Wanaojua...!!





0 comments:
Post a Comment