
Diamond na Penny katika pozi la kimahaba.
MAAJABU! Jambo zito limefichuka kuwa mastaa walio katika uhusiano wa
kimapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Penniel Mwingilwa ‘Penny’
ni ndugu, AMANI limepekua na kupata mkanda kamili.
Diamond kwa sasa ndiye mwanamuziki aliye matawi ya juu zaidi kuliko
yeyote kwenye Bongo Fleva, akisumbua vibaya...





0 comments:
Post a Comment