Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, 24 March 2014

MASTAA WANASWA LAIVU WAKIFANYA VITENDO VYA KIFUSKA!!!

Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska……
Tukio hilo lilijiri kwenye Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo maeneo ya Victoria, Dar wikiendi iliyopita ambapo kulikuwa na Kibao Kata cha mtoto wa mjini, Rose Alphonce Nungu ‘Muna Love’.
s1Baadhi ya mastaa wakionyeshana ufundi wa kucheza.
s2Ilikuwa ni full kukata mauno ndani ya Letasi Lounge.
s3Burudani baada ya kukolea, hali ilikuwa hivi.
Ndani ya ukumbi huo zilishuhudia laana za aina yake ambazo zilikuwa zikiongozwa na mwenye shughuli ambaye alikuwa akikata mauno ya ajabu kwa staili ya ‘baba na mama’ chumbani.
s4 Husna Maulid akionyesha ufundi.
s5Husna Idd ‘Sajent’ naye akionyesha machejo yake.
Katika hatua nyingine, mwanaume tata anayejulikana kwa jina la Agrey alivua nguo na kubaki na ‘kufuli’ kisha alipanda juu ya kiti na kuanza kuonesha staili mbalimbali za ukataji wa mauno.
s6Sajent na Husna wakizidi kujiachia.
Kingine kilichojiri ni pale shindano lisilokuwa rasmi la kuzungusha nyonga lilipoibuka kati ya watoto wa Ilala linaloongozwa na Baby Tunu na Baby Tau ambao walishindana na watoto wa Kinondoni, Sajenti na wenzake, hali iliyosababisha watu kushindwa kuvumilia na kuinuka vitini.

s7
-GPL

0 comments:

Post a Comment