TEAM CRAYZE nao walikuwepo full kujidabua
Rihama
ally nae alikuwepo pia alitoa yake ya moyoni kuhusu wote wanaodhania
kwamba kibao kata ni uhuni, aliwapa ukweli na kuwaambia kuwa huu ndo
mziki wetu na kiuno ndio hasili yetu,wacheni tukatikeeMkuu
wa itifaki gilla akimwambia kijana wake wa kazi aongeze mike ingine kwa
wapiga kibao kata hili tusikie vizuri maneno ya shombo.
Mtoto fetty akiwa na mama naa pamoja na nai nai wakifatilia kwa makini kibao bunyero bunyero za kibao kata.
Mchina alijulikana kwa jina moja la dong akijidapua na kabinti special kwenye kibao kata......
watu wakijidabua kwenye kibao kata
Boke akifatilia kwa makini kibao kataQueen happy akiwa na miss mtwara zuhura a.k.a zou kamili gado.jumatano iliyopita new maisha club
Siku hiyo nzima mziki ni taarabu,mduara,arabik na miziki ya kimwambao tu
Mabinti wakifatilia kwa makini kibao kata Hamza balla nae alikuwepo....
zuhura gora anapenda sana kuchati zou kamiligado hapo itakuwa anaita mashoga zake waje wakionee bunyero bunyero.
Lady naa a.k.a mutoto mlito yeye ndio alipewa nafasi yakuongelea maana ya jina la bunyero bunyero
ilikuwa noma sana kwakweli usikose jumatano hii.
Friday, 30 May 2014
BUNYERO BUNYERO YA MAISHA CLUB NI SHIDA. CHEKI HAPA MAPICHA YOTE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment